IQNA

Laylatul Qadr huko Makka: Waislamu Milioni 2.5 wajumuika Katika Msikiti Mkuu

Laylatul Qadr huko Makka: Waislamu Milioni 2.5 wajumuika Katika Msikiti Mkuu

IQNA-Katika mkusanyiko wa kihistoria, Waislamu milioni 2.5 walikusanyika na kusali katika Msikiti Mkuu wa Makka, Masjid al Haram, Saudi Arabia, siku ya Ijumaa kuhusiha mojawapo ya usiku mtukufu zaidi wa Ramadhani mwaka huu.
22:06 , 2024 Apr 06
Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 26

Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 26

IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 26 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
21:24 , 2024 Apr 06
Nasrallah: Harakati za Muqawama zitapata 'ushindi mkubwa' katika vita dhidi ya Israel

Nasrallah: Harakati za Muqawama zitapata 'ushindi mkubwa' katika vita dhidi ya Israel

IQNA-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema mhimili wa muqawama una uhakika wa kupata "ushindi mkubwa" katika vita vyake vinavyoendelea dhidi ya utawala ghasibu wa Israel.
06:20 , 2024 Apr 06
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 26

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 26

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
06:17 , 2024 Apr 06
Utawala wa Kizayuni wa Israel ni nembo ya kimataifa ya jinai

Utawala wa Kizayuni wa Israel ni nembo ya kimataifa ya jinai

IQNA- Khatibu wa muda wa Sala ya Ijumaa Tehran ameashiria jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel katika mauaji ya wanawake na watoto wa Kipalestina na kusema: "Utawala bandia wa Kizayuni unaoua watoto sasa umebadilika na kuwa nembo ya jinai katika mfumo wa kisheria wa kimataifa.
17:39 , 2024 Apr 05
Kamanda Mkuu wa IRGC: Utawala bandia wa Israel unakaribia kusambaratika

Kamanda Mkuu wa IRGC: Utawala bandia wa Israel unakaribia kusambaratika

IQNA-Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) anasema utawala wa Kizayuni wa Israel utasambaratika hivi karibuni, akibainisha kuwa Marekani inaiunga mkono waziwazi Israel.
16:43 , 2024 Apr 05
Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 25

Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 25

IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 25 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
16:18 , 2024 Apr 05
Mamillioni ya wananchi wa Iran washiriki katika Siku ya Kimataifa ya Quds

Mamillioni ya wananchi wa Iran washiriki katika Siku ya Kimataifa ya Quds

IQNA-Mamillioni ya wananchi wa Iran wamejitokeza katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds ambayo yamefanyika leo katika miji na maeneo mbalimbali nchini Iran.
14:24 , 2024 Apr 05
Katika Siku ya Quds, dunia yaungana kupinga utawala wa mauaji ya kimbari wa Israel

Katika Siku ya Quds, dunia yaungana kupinga utawala wa mauaji ya kimbari wa Israel

IQNA-Siku ya Quds mwaka huu 2024 imewadia huku utawala wa Kizayuni wa Israel ukiwa umekwama kwenye kinamasi cha Gaza licha ya mauaji ya kimbari unayoendelea kufanya katika eneo hilo la Palestina ambayo tokea Oktoba mwaka jana hadi sasa yamepelekea Wapalestina wasiopungua 33,000 kuuawa, wengi wakiwa ni wanawake na watoto.
14:16 , 2024 Apr 05
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 25

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 25

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
04:18 , 2024 Apr 05
Ayatullah Khamenei: Siku ya Quds mwaka huu itakuwa uasi wa kimataifa dhidi ya utawala ghasibu wa Israel

Ayatullah Khamenei: Siku ya Quds mwaka huu itakuwa uasi wa kimataifa dhidi ya utawala ghasibu wa Israel

IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema siku ya Quds mwaka huu itakuwa uasi wa kimataifa dhidi ya utawala ghasibu wa Israel na kuongeza kuwa: "Utawala wa Kizayuni wa Israel utazabwa kibao usoni kutokana na shambulio lake dhidi ya majengo ya ubalozi mdogo wa Iran katika mji mkuu wa Syria, mapema wiki hii."
13:04 , 2024 Apr 04
Kiongozi wa Hizbullah apongeza mapambano ya Wapalestina dhidi ya adui Mzayuni

Kiongozi wa Hizbullah apongeza mapambano ya Wapalestina dhidi ya adui Mzayuni

IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, Siku ya Kimataifa ya Quds mwaka huu ni tofauti na miaka iliyopita, na kwamba operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa imemweka adui Mzayuni kwenye ukingo wa shimo la mauti.
12:59 , 2024 Apr 04
Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 24

Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 24

IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 24 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
11:06 , 2024 Apr 04
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 24

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 24

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
04:29 , 2024 Apr 04
Kumalizika Maonyesho ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani Tehran -PICHA

Kumalizika Maonyesho ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani Tehran -PICHA

Maonyesho 31 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran yalifikia tamati Jumanne usiku. Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tehran kila mwaka huandaliwa na Wizara ya Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
12:28 , 2024 Apr 03
8