Njia ya Ustawi/ 6
TEHRAN (IQNA) – Mafundisho ya Uislamu yanasisitiza juu ya Tarbiyah au malezi ya nafsi, ambayo ina maana ya kurekebisha na kuitakasa tabia.
Habari ID: 3477977 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/02
Nukuu kutoka kwa Nahj al-Balagha /3
TEHRAN (IQNA) – Kwa mtazamo wa Imam Ali (AS), serikali ni njia tu ya kufikia malengo ya juu kama vile uadilifu wa kijamii. Mtazamo huu unaonekana kwa uzuri katika kitabu kikuu Nahj al-Balagha, ambacho ni mkusanyo wa maneno yake.
Habari ID: 3476189 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/03
Nukuu kutoka kwa Nahj al-Balagha / 1
TEHRAN (IQNA) – Mwanasosholojia na mtafiti anasema tunapaswa kuwa na ufahamu mpya wa Imam Ali (AS) kwani alikuwa mwanafikra wa hadhi ya juu na hilo linadhihirika wakati unaporejea kwenye vipengele vya kimaanawi na kiroho vya fikra zake.
Habari ID: 3476091 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/15
Habari ID: 3470254 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/19