iqna

IQNA

sheikh ibrahim zakzaky
TEHRAN (IQNA) - Ofisi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imetangaza kuwa, hali ya kiafya ya kiongozi huyo anayeshikiliwa gerezani imezidi kuwa mbaya.
Habari ID: 3472363    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/11

TEHRAN (IQNA) – Imebainika kuwa mwili wa Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria Sheikh Ibrahim Zakzaky una vipande vya mabaki ya risasi.
Habari ID: 3472311    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/28

Ayatullah Reza Ramezani
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul Bayt AS ametoa wito kwa nchi za Kiislamu ziishinikize serikali ya Nigeria imueachilie huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) Sheikh Ibrahim Zakzaky.
Habari ID: 3472301    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/25

TEHRAN (IQNA) -Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa Tehran ameashiria matukio ya hivi karibuni katika nchi za Kiislamu na kusema kuwa, kuna ulazima kwa Waislamu kuwa macho mbele ya njama za maadui huku akitoa wito kwa Waislamu duniani kumtetea Sheikh Ibrahim Zakzaky wa Nigeria.
Habari ID: 3472290    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/20

TEHRAN (IQNA) – Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al Mustafa SAW kimetoa taarifa na kulaani kimya cha jamii ya kimataifa kuhusu kuendelea kushikiliwa kinyume cha sheria kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) Sheikh Ibrahim al-Zakzaky na mke wake, pamoja na kuwa hali yao ya kiafya imezorota.
Habari ID: 3472285    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/17

Katika mahojiano na IQNA
TEHRAN (IQNA) – Suhaila Zakzaky, bintiye Sheikh Ibrahim Zakzaky kiongozi wa Harakati ya Kiislamu Nigeria (IMN) ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kuishinikiza serikali ya Nigeria kumuachilia huru mwanazuoni huyo wa Kiislamu.
Habari ID: 3472279    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/15

TEHRAN (IQNA) - Daktari wa Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria Sheikh Ibrahim Zakzaky amesema kuwa msomi huyo ameathiriwa na sumu na anapaswa kupewa matibabu haraka iwezekanavyo.
Habari ID: 3472263    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/09

TEHRAN (IQNA)- Mahakama Kuu ya jimbo la Kaduna nchini Nigeria imetoa hukumu ya kupelekwa Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky na mkewe katika jela kuu ya jimbo la Kaduna kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3472259    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/06

TEHRAN (IQNA) –Harakati ya Kiislamu Nigeria (INM) imesema hatua ya serikali ya nchi hiyo kuendelea kumshikilia Sheikh Ibrahim Zakzaky na mke wake ni ukiukwaji wa wazi wa sharia.
Habari ID: 3472255    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/04

Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imetangaza kuwa hali ya kiafya ya Sheikh Ibrahim Zakzaky ni mbaya kutokana na alimu huyo kuendelea kuwekwa kizuizini kwa muda mrefu sasa.
Habari ID: 3472172    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/15

TEHRAN (IQNA) - Jeshi la Nigeria limeua Waislamu wasiopungua 12 waliokuwa katika maombolezo ya Siku ya Ashura (tarehe 10 Muharram) wakikumbuka mauaji ya mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, Imam Hussein AS.
Habari ID: 3472124    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/10

TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imetangaza kuwa, kiongozi wa harakati hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky amepelekwa mahala kusikojulikana mara baada ya kuwasili Abuja akitokea nchini India.
Habari ID: 3472088    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/18

TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria(INM) imetangaa imelaani amuzi wa mahakama ya nchi hiyo kuiruhusu serikali kuitangaza harakati hiyo kuwa kundi la ‘kigaidi’.
Habari ID: 3472062    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/29

TEHRAN (IQNA) - Mashinikizo ya Marekani, Utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudi Arabia ni chanzo kikuu cha serikali ya Nigeria kuendelea kumshikilia kinyume cha sheria kiongozi wa harakati ya Kiislamu nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky.
Habari ID: 3472050    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/21

TEHRAN (IQNA) - Wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Iran wameandamana kulalamikia kuendelea kushikiliwa kushikiliwa kinyume cha sheria Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.
Habari ID: 3472045    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/15

TEHRAN (IQNA) - Mwana wa Sheikh Ibrahim Zakzaky Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria ametahadharisha kupitia ujumbe aliotoa kwamba hali ya kimwili ya baba yake ni mbaya sana. Amesema karibu njia zote zimeshindikana kwa ajili ya kunusuru maisha yake.
Habari ID: 3472036    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/09

TEHRAN (IQNA)- Baada ya kupita miaka mitatu na nusu tangu serikali ya Nigeria ianze kumshikilia kinyume cha sheria Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky na kuendelea kukaidi amri ya Mahakama Kuu ya kuachiliwa huru mwanachuoni huo, hivi sasa hali ya kiongozi huyo wa Waislamu imezidi kuwa mbaya.
Habari ID: 3472021    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/29

TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Nigeria wanakumbuka mauaji ya umati yaliyotekelezwa na jeshi la nchi hiyo dhidi ya wafuasi wa Harakati ya Kiislamu Nigeria katika mji wa Zaria jimboni Kaduna.
Habari ID: 3471770    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/14

TEHRAN (IQNA)-Shirika la haki za binadamu la Amnesty International limelaani hatua ya serikali ya Abuja ya kuwaweka kizuizini kinyume sheria Waislamu hasa wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.
Habari ID: 3471654    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/31

TEHRAN (IQNA) – Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria Sheikh Ibrahim Zakzaky ameituhumu Saudi Arabia kuwa inaliunga mkono kifedha Jeshi la Nigeria ili litekeleza mauaji ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo.
Habari ID: 3471484    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/27