Habari Maalumu
IQNA – Warsha ya mafunzo kuhusu misingi ya Qira’at kumi za Qur’ani Tukufu imezinduliwa katika Msikiti wa Mtume (SAW) - Al Masjid an Nabawi, mjini Madina,...
23 Jul 2025, 21:00
IQNA – Afisa mmoja wa utamaduni nchini Iran ameeleza kuwa matembezi ya Arbaeen ni dhihirisho la wazi la mafundisho ya Qur’ani Tukufu kwa vitendo.
23 Jul 2025, 20:44
IQNA – Mwaka huu, kwa mara ya sita mfululizo, vijana Waislamu wa madhehebu Kishia wa jamii ya Khoja Ithnashari nchini Tanzania wameandaa maonyesho ya Muharram...
22 Jul 2025, 16:03
IQNA – Umoja wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) umetoa wito kwa serikali za Kiislamu na mataifa ya Waislamu kuchukua hatua na kufanya jihadi...
22 Jul 2025, 15:53
IQNA – Polisi katika mji mkuu wa Denmark, Copenhagen, wameanzisha uchunguzi kuhusiana na shambulio lililofanywa na kundi la vijana wa mrengo mkali dhidi...
22 Jul 2025, 15:39
IQNA – Kwa mara ya kwanza baada ya karibu miongo miwili, mtaalamu wa Qur’an Tukufu kutoka Iran atahudhuria kama jaji katika mashindano ya kimataifa ya...
22 Jul 2025, 15:27
IQNA – Msahafu au nakala adimu ya Qur’an Tukufu iliyoandikwa kwa mkono juu ya kitambaa inatazamiwa kutolewa rasmi kama zawadi kutoka India kwa Saudi Arabia,...
22 Jul 2025, 15:22
IQNA – Taasisi ya Al-Azhar na Wizara ya Wakfu ya Misri zimemuenzi Sheikh Mahmud Ali Al-Banna, mmoja wa wasomaji wa Qur’ani mashuhuri wa karne ya 20, katika...
21 Jul 2025, 21:15
IQNA – Profesa Ali Montazeri, Mkuu wa Akademia ya Kitaifa cha Elimu, Utamaduni na Utafiti (ACECR) nchini Iran, amesema kuwa lengo la mashambulizi ya pamoja...
21 Jul 2025, 21:09
IQNA – Mkutano wa 20 wa wataalamu wa Qur’ani, makari na wahifadhi wa Iran utafanyika mwezi Novemba mwaka huu chini ya usimamizi wa Baraza Kuu la Qur’ani.
21 Jul 2025, 20:58
IQNA – Papa Leo XIV amelaani vikali vita vinavyoendelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel Gaza, akielezea vita hiyo kuwa ya “kinyama” na kukosoa matumizi...
21 Jul 2025, 20:42
IQNA – Katika jitihada za kuhifadhi urithi wa makari maarufu wa Qur'ani wa Misri na kutambua mchango wao wa kipekee, Idhaa ya Qur'ani ya Misri imepokea...
21 Jul 2025, 19:40
IQNA – Mtaalamu kutoka chuo kikuu nchini Lebanon amesema kuwa lengo la utawala wa Kizayuni katika vita vya siku 12 dhidi ya lilikuwa kuuangusha mfumo wa...
20 Jul 2025, 20:12
IQNA- Ibrahim Isa Musa, qari mashuhuri kutoka Afrika ya Kati, ameshiriki katika kampeni ya Qur’ani ya “Fath” iliyoandaliwa na shirika la IQNA kwa kusoma...
20 Jul 2025, 18:57
IQNA – Kozi maalum ya kiangazi ya kuhifadhi na kusoma Qur’ani kwa wanawake imezinduliwa katika Msikiti Mkuu wa Makka maarufu kama Masjid al Haram.
20 Jul 2025, 18:44
IQNA-Hatua ya Awali ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi wa Kiislamu Imeanza kwa Njia ya Mtandao
20 Jul 2025, 18:27