IQNA

Tuzo ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur'ani ya Al-Ameed: Maqari wa Iran Wafuzu kwa Awamu ya Pili 

IQNA – Kufuatia hitimisho la hatua ya kwanza ya Tuzo ya 2 ya Kimataifa ya Usomaji wa Qur'ani ya Al-Ameed, waandaaji wametangaza wale waliopita hadi awamu...

Mwanazuoni: Vijana Waislamu wazingatie mafunzo ya Qur'ani na Ahl-ul-Bayt

IQNA – Mtu anapaswa kuepuka kuchochea tofauti, badala yake ajikite katika kuhimiza mazungumzo miongoni mwa vijana Waislamu kwa misingi ya mafunzo ya Qur'ani...

Iran ina azma ya kuendeleza ushirikiano wa Qur’ani na Indonesia

IQNA – Balozi wa Iran nchini Indonesia amesisitiza shauku ya Jamhuri ya Kiislamu ya kupanua ushirikiano wa Qur’ani na nchi hiyo ya Kusini-Mashariki mwa...

Yemen yaapa kujibu mashambulizi ya Marekani ambayo yameua raia 24

IQNA – Harakati ya Ansarullah ya Yemen imeahidi kujibu uchokozi wa kijeshi wa hivi karibuni wa Marekani, kufuatia mashambulizi ya angani ya Marekani na...
Habari Maalumu
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 15

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 15

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku...
16 Mar 2025, 06:11
Washindi wa Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani nchini Somalia Wametunukiwa

Washindi wa Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani nchini Somalia Wametunukiwa

IQNA – Washindi wakuu wa Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu nchini Somalia wametunukiwa zawadi katika hafla iliyohudhuriwa na Rais Hassan Sheikh Mohamud.
15 Mar 2025, 15:59
Juzuu ya 15 - Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

Juzuu ya 15 - Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani

IQNA – Tumekuandalia qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 15 ya Qur’ani Tukufu, ambayo inasomwa na maqari wafuatao kutoka Iran: Ahmad Abolghasemi, Aliakbar Malekshahi,...
16 Mar 2025, 06:14
Misikiti yatoa kozi za Qur'ani wakati wa Ramadhani nchini Kosovo

Misikiti yatoa kozi za Qur'ani wakati wa Ramadhani nchini Kosovo

IQNA – Katika mwezi mtukufu wa Ramadhani, misikiti nchini Kosovo imepiga hatua kubwa katika kufundisha Qur'ani kwa watoto.
15 Mar 2025, 15:55
Matukio ya Qur'ani nchini Indonesia yalenga kuimarisha Umoja wa Kiislamu

Matukio ya Qur'ani nchini Indonesia yalenga kuimarisha Umoja wa Kiislamu

IQNA – Mwambata wa kitamaduni wa Iran, Mohammadreza Ebrahimi, amesema kwamba mikusanyiko ya Qur'ani iliyopangwa kufanyika Indonesia kwa kushirikisha maqari...
15 Mar 2025, 15:47
Maana ya Neno ‘Tawakkul’ 
Tawakkul katika Qur'ani/1

Maana ya Neno ‘Tawakkul’ 

IQNA – Baadhi ya wataalamu wa lugha wanaamini kuwa neno la Kiarabu 'Tawakkul' linatokana na dhana ya kuonyesha kutoweza na udhaifu katika juhudi za binadamu. 
15 Mar 2025, 15:33
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 14

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 14

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku...
15 Mar 2025, 05:23
Karbala: Mpango wa Qur'ani wa Watoto Wazinduliwa Bainul Haramayn katika Mwezi wa Ramadhani

Karbala: Mpango wa Qur'ani wa Watoto Wazinduliwa Bainul Haramayn katika Mwezi wa Ramadhani

IQNA – Kituo cha Qur'ani cha Idara ya Mfawidhi wa Haram ya Hadhrat Abbas (AS) kimezindua toleo la tatu la mpango wake maalum wa Qur'ani kwa watoto na vijana...
14 Mar 2025, 22:41
Maqari mashuhuri wa Iran kushiriki kikao cha Qur'ani Katika Msikiti wa Istiqlal, Indonesia

Maqari mashuhuri wa Iran kushiriki kikao cha Qur'ani Katika Msikiti wa Istiqlal, Indonesia

IQNA – Maqari maarufu wa Qur'ani kutoka Iran, Hamed Shakernejad na Ahmad Abolqassemi, wanatarajiwa kushiriki katika moja ya vikao vikubwa zaidi vya Qur'ani...
14 Mar 2025, 12:58
Waziri Mkuu wa Somalia: Mashindano ya Qur'ani yanaimarisha umoja wa jamii

Waziri Mkuu wa Somalia: Mashindano ya Qur'ani yanaimarisha umoja wa jamii

IQNA – Waziri Mkuu wa Somalia, Hamza Abdi Barre, amesema kwamba mashindano ya kitaifa ya Qur'ani yanachangia kuimarisha mshikamano na umoja ndani ya jamii...
14 Mar 2025, 11:43
Waumini Milioni 25 watembelea Msikiti Mkuu wa Makka katika siku 10 za kwanza za Ramadhani

Waumini Milioni 25 watembelea Msikiti Mkuu wa Makka katika siku 10 za kwanza za Ramadhani

IQNA – Katika siku kumi za mwanzo za Mwezi Mtukufu Ramadhani, Msikiti Mkuu wa Makka, Masjid al Haram, umepokea zaidi ya waumini milioni 25, idadi ambayo...
14 Mar 2025, 11:38
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 13

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 13

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku...
14 Mar 2025, 06:37
Ayatullah Khamenei: Ombi la Trump la kufanya mazungumzo na Iran ni hadaa

Ayatullah Khamenei: Ombi la Trump la kufanya mazungumzo na Iran ni hadaa

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema, ombi la Rais Donald Trump wa Marekani kwamba anataka kufanya mazungumzo...
13 Mar 2025, 13:01
Wote wanafunga kwa sababu ile ile’: Ramadhani ya Waislamu na Kwaresima ya Wakristo zinaunganisha Tanzania

Wote wanafunga kwa sababu ile ile’: Ramadhani ya Waislamu na Kwaresima ya Wakristo zinaunganisha Tanzania

IQNA: Nchini Tanzania, kusadifiana kwa Ramadhani na Kwaresima kwa wakati mmoja kumewaleta Waislamu na Wakristo pamoja, wakishiriki kufunga na kutafakari.
13 Mar 2025, 12:53
Msomi wa Italia: Matukio Kama Maonyesho ya Qur'ani yanaimarisha uhusiano wa Kiislamu duniani

Msomi wa Italia: Matukio Kama Maonyesho ya Qur'ani yanaimarisha uhusiano wa Kiislamu duniani

IQNA – Profesa wa Italia amesifu Maonyesho ya 32 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran kwa kuimarisha uhusiano kati ya Waislamu, akisisitiza jukumu...
13 Mar 2025, 12:16
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 12

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 12

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku...
13 Mar 2025, 05:44
Picha‎ - Filamu‎