IQNA – Katika ujumbe wake kwa washiriki wa mashindano ya 17 ya kitaifa ya Qur’ani “Mudha Mattan”, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Dkt. Masoud Pezeshkian, ameyataja mashindano hayo kuwa ni uwanja wa kukuza ushirikiano, huruma, na kuendeleza stadi mbalimbali za kufanya kazi kwa pamoja.
11:12 , 2025 Nov 15