iQNA – Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa pili wa Operesheni ya “Tufani ya Al-Aqsa,” maandamano yaliyopewa jina Bushara ya Ushindi yalifanyika kote nchini Iran. Jijini Tehran, waumini walikusanyika baada ya Sala ya Ijumaa na kuandamana kutoka Chuo Kikuu cha Tehran hadi Uwanja wa Mapinduzi (Meydān-e Enqelāb), wakionesha mshikamano wao na watu wa Gaza.
06:47 , 2025 Oct 12