IQNA

Dunia yakemea shambulio la Waisraeli dhidi ya msikiti wa Palestina

Dunia yakemea shambulio la Waisraeli dhidi ya msikiti wa Palestina

IQNA – Shambulio lililofanywa na kundi la walowezi haramu wa Kizayuni dhidi ya msikiti katika eneo linalokaliwa kwa mabavu na Israel Ukingo wa Magharibi limeibua ghadhabu na ukemeaji kutoka pande mbalimbali duniani.
11:34 , 2025 Nov 15
Rais wa Iran: Mashindano ya Qur’ani ni Jukwaa la Kukuza Ushirikiano

Rais wa Iran: Mashindano ya Qur’ani ni Jukwaa la Kukuza Ushirikiano

IQNA – Katika ujumbe wake kwa washiriki wa mashindano ya 17 ya kitaifa ya Qur’ani “Mudha Mattan”, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Dkt. Masoud Pezeshkian, ameyataja mashindano hayo kuwa ni uwanja wa kukuza ushirikiano, huruma, na kuendeleza stadi mbalimbali za kufanya kazi kwa pamoja.
11:12 , 2025 Nov 15
Mwanazuoni wa Kiislamu: Akili Mnemba haiwezi kuchukua nafasi ya akili ya mwanadamu wala nafsi ya roho

Mwanazuoni wa Kiislamu: Akili Mnemba haiwezi kuchukua nafasi ya akili ya mwanadamu wala nafsi ya roho

IQNA – Mwanazuoni mwandamizi kutoka Iran amesema kuwa Akili Mnemba (AI) au akili ya kutengenezwa kimitambo haiwezi kufikia hadhi ya akili ya mwanadamu wala kuelewa upeo wa kiroho wa maisha ya binadamu.
10:32 , 2025 Nov 15
Ayatullah Makarim Shirazi atoa wito wa matumizi ya Akili Mnemba (AI) kwa msingi wa Kiislamu

Ayatullah Makarim Shirazi atoa wito wa matumizi ya Akili Mnemba (AI) kwa msingi wa Kiislamu

IQNA – Mwanazuoni maarufu wa Kiislamu nchini Iran amesisitiza kuwa akili mnemba (AI) inapaswa kutumika kwa lengo la kuendeleza Qur’ani Tukufu, akibainisha kuwa jukumu hilo ni huduma muhimu ya kielimu kwa Uislamu.
08:16 , 2025 Nov 15
Wavamizi wa Kizayunii Waharibu Msikiti, Wavunjia Heshima Qur’ani Ukingo wa Magharibi

Wavamizi wa Kizayunii Waharibu Msikiti, Wavunjia Heshima Qur’ani Ukingo wa Magharibi

IQNA – Wavamizi wa Kizayuni wasiokuwa halali waliharibu msikiti katika mji wa Deir Istiya, Ukingo wa Magharibi, usiku wa Alhamisi, wakichoma sehemu za ndani na kuharibu nakala kadhaa za Qur’ani Tukufu katika shambulio la dharau lililoambatana na maandiko ya vitisho.
20:26 , 2025 Nov 14
Mwanazuoni: Qur’ani Tukufu Ni Ramani ya Maisha Mema

Mwanazuoni: Qur’ani Tukufu Ni Ramani ya Maisha Mema

IQNA – Qur’an Tukufu ni ramani ya kuishi maisha mema, amesema mwanazuoni wa Kiislamu nchini Iran, akiongeza kuwa wale wanaoshikamana zaidi na Qur’ani huishi maisha ya heri na ya uadilifu yanayopendeza kwa Mwenyezi Mungu.
20:14 , 2025 Nov 14
Qatar yafungua Maonyesho ya Qur’ani Sambamba na Mashindano ya Kieneo

Qatar yafungua Maonyesho ya Qur’ani Sambamba na Mashindano ya Kieneo

IQNA – Wizara ya Awqaf na Mambo ya Kiislamu ya Qatar imezindua maonyesho ya Qur’an sambamba na toleo la 30 la Mashindano ya Qur’an ya Sheikh Jassim bin Mohammed Al Thani mjini Doha.
20:02 , 2025 Nov 14
Mashindano ya Kimataifa ya Qur’an kwa Wanafunzi Waislamu: Viongozi na Kamati Tendaji Wateuliwa

Mashindano ya Kimataifa ya Qur’an kwa Wanafunzi Waislamu: Viongozi na Kamati Tendaji Wateuliwa

IQNA – Mwenyekiti, katibu na wajumbe wa kamati tendaji ya Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur’an kwa Wanafunzi Waislamu wametambulishwa rasmi.
19:33 , 2025 Nov 14
Tarouti: Sauti ya Sheikh Sha’sha’i iliwafanya wasikilizaji wahisi Utukufu wa Qur’ani

Tarouti: Sauti ya Sheikh Sha’sha’i iliwafanya wasikilizaji wahisi Utukufu wa Qur’ani

IQNA – Qari mashuhuri wa Misri, Abdul Fattah Tarouti, amemuelezea marehemu Sheikh Abdul Fattah Sha’sha’i kuwa ni msomaji wa Qur’an aliyebeba sauti ya kipekee na ya kifahari, iliyodhihirisha ukubwa wa Qur’an na kuasisi mtindo wa kipekee wa qira’a.
18:49 , 2025 Nov 14
Vipindi vya televisheni Misri kulenga kutambua vipaji vya Qur’ani

Vipindi vya televisheni Misri kulenga kutambua vipaji vya Qur’ani

IQNA – Kipindi cha televisheni kiitwacho “Dawlat al Telawah”, ambacho ndicho shindano kubwa zaidi cha vipaji vya usomaji na tartiil ya Qur’ani, kimepangwa kurushwa kupitia vituo vya satelaiti vya Misri.
12:55 , 2025 Nov 13
Libya yaandaa Mashindano ya Qur’ani kwa wanafunzi

Libya yaandaa Mashindano ya Qur’ani kwa wanafunzi

IQNA – Mashindano ya kuhifadhi Qur’ani kwa wanafunzi wa shule yameanza mjini Zliten, Libya, Jumanne, tarehe 11 Novemba.
12:47 , 2025 Nov 13
Waziri Mkuu wa Iraq atembelea Haram ya Kadhimiya baada ya ushindi wa uchaguzi

Waziri Mkuu wa Iraq atembelea Haram ya Kadhimiya baada ya ushindi wa uchaguzi

IQNA – Waziri Mkuu wa Iraq, Muhammad Shia Al-Sudani, amesafiri hadi Kadhimiya, kaskazini mwa Baghdad, kutembelea makaburi matakatifu  baada ya kutangazwa matokeo ya awali ya uchaguzi wa bunge.
12:44 , 2025 Nov 13
Sala ya kuomba mvua taifa zima yaswaliwa Saudia

Sala ya kuomba mvua taifa zima yaswaliwa Saudia

IQNA – Sala ya Istisqa (swala ya kuomba mvua) imeswaliwa leo Alhamisi, kufuatia sunnah ya Mtume Muhammad (SAW) ya kuomba rehema ya Mwenyezi Mungu kupitia ibada ya pamoja. Swala hiyo imeswaliwa kufuatia ombi la Mfalme Salman bin Abdulaziz wa Saudi Arabia
12:39 , 2025 Nov 13
Mashindano ya Qur’ani kwa wenye ulemavu wa macho yafanyika Kuwait

Mashindano ya Qur’ani kwa wenye ulemavu wa macho yafanyika Kuwait

IQNA – Mashindano ya kwanza ya kitaifa ya Qur’ani kwa watu wenye ulemavu wa macho nchini Kuwait yamefanyika kwa juhudi za Taasis ya Mutamayizin kwa Huduma ya Qur’ani.
12:27 , 2025 Nov 13
Bibi Fatima: Mwanga wa Subira na Imani Unaong’aa Hadi Leo – Profesa wa Marekani

Bibi Fatima: Mwanga wa Subira na Imani Unaong’aa Hadi Leo – Profesa wa Marekani

IQNA – Bibi Fatima (SA) ni mfano wa subira kuu na mwanga wake unaendelea kung’aa, asema Profesa wa dini kutoka Marekani.
17:54 , 2025 Nov 12
1