IQNA

Mikusanyiko 114 ya Khitma ya Qur'ani imeandaliwa Iran kwa ajili ya kuwaenzi “Mashahidi wa Nguvu”

Mikusanyiko 114 ya Khitma ya Qur'ani imeandaliwa Iran kwa ajili ya kuwaenzi “Mashahidi wa Nguvu”

IQNA – Jumuiya ya Qur'ani ya Iran imepanga kuandaa mikusanyiko 114 ya usomaji wa Qur'ani katika maeneo mbalimbali ya nchi, kwa ajili ya kuwaenzi mashahidi wa mashambulizi ya hivi karibuni ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
21:01 , 2025 Jul 08
Mufti Mkuu wa Misri akemea kuvamiwa kwa Msikiti wa Al-Aqsa na walowezi wa Kizayuni

Mufti Mkuu wa Misri akemea kuvamiwa kwa Msikiti wa Al-Aqsa na walowezi wa Kizayuni

IQNA – Mufti Mkuu wa Misri, Dkt. Nazeer Mohammed Ayyad, ametoa taarifa ya kulaani kali dhidi ya tukio la kuvamiwa kwa Msikiti wa Al-Aqsa na makundi ya walowezi wa Kizayuni, akieleza kuwa eneo hilo takatifu ni “urithi wa Kiislamu usiogawika wala kujadiliwa kwa namna yoyote.”
20:47 , 2025 Jul 08
Imam Sajjad (AS) alidumisha roho ya Karbala kupitia Dua na Mahubiri

Imam Sajjad (AS) alidumisha roho ya Karbala kupitia Dua na Mahubiri

IQNA-Profesa mmoja kutoka Iran amesema kuwa Imam Ali bin Hussein Sajjad (Aleyhi Salaam), Imamu wa nne katika mlolongo wa Maimamu wa Ahlul Bayt (AS), alikuwa na jukumu muhimu sana katika kuhifadhi ujumbe wa Karbala na kupambana na propaganda za Bani Umayyah kupitia dua, khutuba, na mafundisho ya maadili.
17:49 , 2025 Jul 08
Mapinduzi ya Imam Hussein (AS) yalilenga kufufua roho na kiini cha Uislamu: Mwanazuoni wa Al-Azhar

Mapinduzi ya Imam Hussein (AS) yalilenga kufufua roho na kiini cha Uislamu: Mwanazuoni wa Al-Azhar

IQNA – Mwanazuoni mmoja kutoka Misri amesema kuwa lengo la mapinduzi ya Imam Hussein (Aleyhi Salaam) lilikuwa kufufua roho na kiini halisi cha dini, wakati ambapo maadili na thamani sahihi za Kiislamu zilikuwa zimepotea, na kilichobakia ni maumbo ya nje tu ya ibada na mila za dini.
17:40 , 2025 Jul 08
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq yasifu mafanikio ya mpango wa usalama wa Ashura Karbala

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq yasifu mafanikio ya mpango wa usalama wa Ashura Karbala

IQNA – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq imetoa taarifa mchana wa Jumapili ikitangaza mafanikio ya utekelezaji wa mpango wa usalama kwa ajili ya maombolezo ya mwaka huu ya Siku ya Ashura mjini Karbala.
15:31 , 2025 Jul 07
Uwanja wa Ben Gurion wafungwa tena kufuatia shambulio la kombora la Yemen

Uwanja wa Ben Gurion wafungwa tena kufuatia shambulio la kombora la Yemen

IQNA- Mamlaka ya anga ya Israel imesitisha safari zote za ndege za kuwasili na kuondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ben Gurion na kusema kuwa kituo hicho kitaendelea kufungwa "kwa muda usiojulikana" baada ya Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen kufanya shambulio la kombora, kulipiza kisasi vita vya mauaji ya halaiki vinavyoendelea vya utawala wa Tel Aviv dhidi ya Wapalestina huko Gaza.
15:18 , 2025 Jul 07
Idadi kubwa ya waombolezaji washiriki katika tukio la Tuwairaj mjini Karbala katika Siku ya Ashura

Idadi kubwa ya waombolezaji washiriki katika tukio la Tuwairaj mjini Karbala katika Siku ya Ashura

IQNA – Tukio la jadi wa maombolezo ya Ashura unaojulikana kama Rakdha Tuwairaj limefanyika mjini mtakatifu wa Karbala, Iraq, siku ya Jumapili.
15:15 , 2025 Jul 07
Athari za kihisia na kijamii za tukio miaka 20 baada ya 7/7 kwa Waislamu wa Uingereza

Athari za kihisia na kijamii za tukio miaka 20 baada ya 7/7 kwa Waislamu wa Uingereza

IQNA-Miaka ishirini baada ya mashambulizi ya 7/7 mjini London, Waislamu wa Uingereza bado wanahisi athari za kihisia na kijamii.
14:51 , 2025 Jul 07
Matembezi ya Siku ya Ashura Yafanyika Nchini Kenya

Matembezi ya Siku ya Ashura Yafanyika Nchini Kenya

Matembezi ya Siku ya Ashura yamefanyika Jumapili katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi na mji mdogo wa Witi katika Kaunti ya Lamu nchini Kenya, yakihudhuriwa na wapenzi wa Ahlul Bayt (AS). Klipu za video hapa chini ni za matembezi ya Ashura jijini Nairobi huku picha zikiwa za mjumuiko sawa na huo huko Witu kaunti ya Lamu.
14:10 , 2025 Jul 07
Msimamo wa Imam Hussein (AS) ni kielelezo cha kupinga dhulma ya zama hizi

Msimamo wa Imam Hussein (AS) ni kielelezo cha kupinga dhulma ya zama hizi

IQNA – Mwanazuoni mmoja kutoka Iran amesema kuwa mwamko wa Imam Hussein (AS) dhidi ya Yazid bin Muawiya unabaki kuwa mfano wa milele wa kupambana na dhulma za zama hizi na uonevu wa kimataifa.
19:29 , 2025 Jul 06
Mjumbe wa UN: Karbala ina nafasi maalum mioyoni mwa wote

Mjumbe wa UN: Karbala ina nafasi maalum mioyoni mwa wote

IQNA – Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq una nafasi ya kipekee katika mioyo ya watu wote.
19:06 , 2025 Jul 06
Nimerudi Nyumbani’: Bingwa wa Dunia Fred Kerley asema  baada kuukumbatia Uislamu

Nimerudi Nyumbani’: Bingwa wa Dunia Fred Kerley asema baada kuukumbatia Uislamu

IQNA – Nyota wa Marekani katika mchezo wa riadha, Fred Kerley, ametangaza kuingia katika Uislamu, akishiriki tukio hilo takatifu kupitia video aliyopakia kwenye Instagram.
18:53 , 2025 Jul 06
Waislamu waadhimisha Siku ya Ashura, kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein (AS)

Waislamu waadhimisha Siku ya Ashura, kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein (AS)

IQNA-Jumapili ya leo ya tarehe 6 Julai inasadifiana na mwezi kumi Muharram 1447 Hijria, siku ya A'shura ya kukumbuka kuuliwa shahidi mjukuu wa Mtume Muhamma (SAW), mmoja wa mabwana wawili wa vijana wa peponi, Imam Hussein (AS).
18:23 , 2025 Jul 06
Maombolezo Makubwa Yafanyika Usiku wa Ashura huko Karbala

Maombolezo Makubwa Yafanyika Usiku wa Ashura huko Karbala

IQNA-Maelfu kwa maelfu ya waombolezaji walikusanyika katika mji mtukufu wa Karbala nchini Iraq, usiku wa Ashura, kuadhimisha kuuawa shahidi kwa Imam Hussein (AS), katika mojawapo ya hafla kubwa zaidi za kidini katika kalenda ya Kiislamu.
18:09 , 2025 Jul 06
Ayatullah Khamenei ahudhuria majlisi ya maombolezo ya usiku wa Ashura mjini Tehran

Ayatullah Khamenei ahudhuria majlisi ya maombolezo ya usiku wa Ashura mjini Tehran

Shughuli ya maombolezo ya usiku wa Ashura ilifanyika jioni ya jana Jumamosi katika Husseiniya ya Imam Khomeini mjini Tehran, ikihudhuriwa na Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei na mkusanyiko mkubwa wa watu wa matabaka mbalimbali.
17:47 , 2025 Jul 06
1