IQNA

Sauti | Tilawa ya Ustadh Mohammad Abbasi

Sauti | Tilawa ya Ustadh Mohammad Abbasi

IQNA-Kisomo cha Qur'an Tukufu ni kama nadhiri ya mbinguni — kila aya inayosomwa huleta thawabu kubwa, na kusikilizwa kwake hujaza utulivu ndani ya moyo.
15:38 , 2025 Sep 07
Picha: Mkutano na Waandishi wa Habari Kuhusu Mkutano wa 39 wa Umoja wa Kiislamu Duniani

Picha: Mkutano na Waandishi wa Habari Kuhusu Mkutano wa 39 wa Umoja wa Kiislamu Duniani

IQNA-Hujjatul Islam Hamid Shahriari, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukaribisha Madhehebu za Kiislamu (WFPIST), alifanya mkutano na waandishi wa habari mnamo Septemba 6, 2025, mjini Tehran, kutangaza rasmi ratiba na vipengele vya Mkutano wa 39 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu.
15:27 , 2025 Sep 07
Tuzo ya Sira ya Mtume yazinduliwa Algeria kwa heshima ya Maulidi ya Mtume Muhammad (SAW)

Tuzo ya Sira ya Mtume yazinduliwa Algeria kwa heshima ya Maulidi ya Mtume Muhammad (SAW)

IQNA-Wizara ya Mambo ya Dini na Wakfu nchini Algeria imetangaza kuanzishwa kwa mashindano ya kimataifa kuhusu Sira au mfumo wa maisha ya Mtume Muhammad (SAW) kwa muktadha wa kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume huyo wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu.
15:22 , 2025 Sep 07
Mpango wa kubadilisha nakala za zilizochakaa za Qur'ani kwa mpya bila malipo nchini Malaysia

Mpango wa kubadilisha nakala za zilizochakaa za Qur'ani kwa mpya bila malipo nchini Malaysia

IQNA- Waislamu wa jimbo la Kedah nchini Malaysia wamepata fursa adhimu ya kubadilisha nakala zao za Qur'anI zilizochakaa au kuharibika kwa nakala mpya zilizoidhinishwa rasmi na Wizara ya Mambo ya Ndani bila malipo.
15:13 , 2025 Sep 07
Ujumbe wa Kimataifa wa Mtume Muhammad (SAW) Kujadiliwa Katika Mjadala wa Kimataifa Septemba 9

Ujumbe wa Kimataifa wa Mtume Muhammad (SAW) Kujadiliwa Katika Mjadala wa Kimataifa Septemba 9

IQNA-Imetangazwa kuwa Jumanne hii, tarehe 9 Septemba 2025, kutafanyika mjadala wa kimataifa kwa njia ya mtandao kwa jina “Karne 15 za Kumfuata Mjumbe wa Nuru na Rehema.”
15:05 , 2025 Sep 07
Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Yamalizika Samarra, Iraq

Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Yamalizika Samarra, Iraq

IQNA-Mashindano ya 15 ya kitaifa ya kuhifadhi na kusoma Qur'anI kwa “Wachamungu wa Qur'an wa Iraq” yamehitimishwa kwa heshima kubwa katika Msikiti Mtukufu wa Al-Askari ulioko Samarra, mnamo Jumamosi, tarehe 6 Septemba 2025
14:45 , 2025 Sep 07
Mwezi Mwekundu kuonekana duniani, Waislamu wataswali swala maalumu

Mwezi Mwekundu kuonekana duniani, Waislamu wataswali swala maalumu

IQNA – Usiku wa tarehe 7 hadi 8 Septemba 2025, tukio nadra la kupatwa kwa mwezi kwa jumla, linalojulikana kama Mwezi Mwekundu, litaonekana katika maeneo mengi duniani. Tukio hili la kiasili litaambatana na kuswaliwa kwa swala maalumu ijulikanayo kama Sala ya Ayat na Waislamu katika sehemu mbalimbali.
14:39 , 2025 Sep 07
Shahriari: Heshima ya Binadamu, Haki, na Usalama ni Nguzo Tatu za Umoja wa Kiislamu

Shahriari: Heshima ya Binadamu, Haki, na Usalama ni Nguzo Tatu za Umoja wa Kiislamu

IQNA – Akizungumzia heshima ya binadamu, haki, na usalama kama nguzo kuu tatu za umoja wa Kiislamu, mwanazuoni mwandamizi wa Kiirani amesema kuwa Palestina ni alama au nembo ya mshikamano wa kimataifa.
11:04 , 2025 Sep 06
Mashambulizi dhidi ya Msikiti wa Greater Manchester yazua hofu miongoni mwa Waislamu

Mashambulizi dhidi ya Msikiti wa Greater Manchester yazua hofu miongoni mwa Waislamu

IQNA – Mashambulizi mawili ya hivi karibuni dhidi ya msikiti mmoja huko Greater Manchester nchini Uingereza yamewaacha waumini wakihisi kutokuwa salama, kwa mujibu wa Imam wake.
10:29 , 2025 Sep 06
Viongozi wa Kiislamu katika BRICS wasisitiza kuhifadhi na kukuza maadili ya familia

Viongozi wa Kiislamu katika BRICS wasisitiza kuhifadhi na kukuza maadili ya familia

IQNA – Viongozi wa Kiislamu kutoka nchi wanachama wa BRICS wametoa tamko la pamoja wakisisitiza kuwa, kutokana na hali ya sasa ya dunia, jukumu kuu na la dharura ni kufanya juhudi za hali ya juu kuhifadhi na kukuza maadili bora ya familia miongoni mwa vijana.
18:47 , 2025 Sep 05
Mtaalamu Maalum wa UN: Mahusiano yote na Israel yakatwe kabisa

Mtaalamu Maalum wa UN: Mahusiano yote na Israel yakatwe kabisa

IQNA – Akielezea unyama unaoendelea kufanywa na utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina, Mtaalamu Maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu amesisitiza haja ya kukatisha mahusiano yote na Israel.
18:40 , 2025 Sep 05
Syria Yazindua ‘Mushaf al-Sham’ Katika Maonesho ya Kimataifa ya Damascus

Syria Yazindua ‘Mushaf al-Sham’ Katika Maonesho ya Kimataifa ya Damascus

IQNA – Nakala maalum ya Qur’ani ya Kitaifa ya Syria, inayojulikana kama Mushaf al-Sham, imeonyeshwa rasmi katika banda la Wizara ya Wakfu wakati wa Maonesho ya 62 ya Kimataifa ya Damascus.
18:30 , 2025 Sep 05
Msomi aangazia suluhisho za Mapinduzi ya Kiislamu kwa migogoro ya kisasa 

Msomi aangazia suluhisho za Mapinduzi ya Kiislamu kwa migogoro ya kisasa 

IQNA – Mwanazuoni mwandamizi kutoka Iran amesema kuwa kulinganisha mtazamo wa Tauhidi wa Mapinduzi ya Kiislamu na mtazamo wa kisekula wa Magharibi kunasaidia kufichua kwa undani vipengele vya migogoro ya dunia ya leo.
18:22 , 2025 Sep 05
Mwanazuoni: Qur'ani Inafaa kwa zama zote

Mwanazuoni: Qur'ani Inafaa kwa zama zote

IQNA – Mwanazuoni wa Kiirani, Mohammad-Taqi Fayyazbakhsh, amesema kuwa Qur'ani Tukufu inaendelea kuwa ya kisasa na yenye mwongozo kwa kila zama na kila jamii, akisisitiza nafasi yake kama chanzo cha mwangaza wakati wa mkanganyiko.
17:58 , 2025 Sep 05
Kiongozi wa Ansarullah: Watu wa Yemen wameinua bendera ya Jihadi dhidi ya mabeberu wa zama

Kiongozi wa Ansarullah: Watu wa Yemen wameinua bendera ya Jihadi dhidi ya mabeberu wa zama

IQNA-Kiongozi wa harakati ya Ansarullah, Sayyid Abdulmalik Badruddin al-Houthi, amesisitiza kuwa watu wa Yemen wanaendelea kufuata mwenendo wa Mtume Muhammad (S.A.W) na mafundisho ya Qur’an Tukufu.
22:13 , 2025 Sep 04
1