Matembezi ya Siku ya Ashura yamefanyika Jumapili katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi na mji mdogo wa Witi katika Kaunti ya Lamu nchini Kenya, yakihudhuriwa na wapenzi wa Ahlul Bayt (AS). Klipu za video hapa chini ni za matembezi ya Ashura jijini Nairobi huku picha zikiwa za mjumuiko sawa na huo huko Witu kaunti ya Lamu.
14:10 , 2025 Jul 07