IQNA

Mlibya aandika Qur’ani nzima kwa Kaligrafia kwa muda wa miaka mine

20:22 - June 13, 2020
Habari ID: 3472863
TEHRAN (IQNA) – Msanii wa Libya amefanikiwa kuandika Qur’ani Tukufu kikamilifu kwa maandishi ya kaligrafia.

Kwa mujibu wa tovuti ya Afrigatenews, Sheikh Ahmed bin Ukal amechukua miaka mine kumaliza kazi yake hiyo yenye thamani kubwa.  Sheikh bin Ukal ameandika sura zote za Qur’ani Tukufu katika msahafu wenye kurasa 621 kwa kutumia mbinu ya Qalun an-Nafi.

Jitihada za kustawisha harakati za Qur’ani zinaendelea nchini Libya pamoja na kuwa nchi hiyo inaendelea kushuhudia mapigano  baada ya muungano wa kijeshi wa NATO kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo na kupelekea kupinduliwa mtawala wa nchi hiyo Muammar Gaddafi mwaka 2011.

Mlibya aandika Qur’ani nzima kwa Kaligrafia kwa muda wa miaka mine

Mlibya aandika Qur’ani nzima kwa Kaligrafia kwa muda wa miaka mine

Mlibya aandika Qur’ani nzima kwa Kaligrafia kwa muda wa miaka mine

Mlibya aandika Qur’ani nzima kwa Kaligrafia kwa muda wa miaka mine

 

3904614

captcha