TEHRAN (IQNA) – Ayatullah Muhsin Araki, mwanachama wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu Wanaomchagua Kiongozi Muadhamu Iran, amewatumia ujumbe wa video vijana wanaoandamana kote duniani hakitaka haki na uadilifu duniani.
Habari ID: 3472879 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/20
TEHRAN (IQNA)- Mashirika ya Waislamu nchini Marekani yamejiunga na wimbi la malalamiko ya kuishinikiza serikali ya nchi hiyo ifanye mageuzi haraka iwezekanavyo kwa ajili ya kuondoa ubaguzi wa rangi wa kimfumo katika muundo wa polisi ya nchi hiyo.
Habari ID: 3472871 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/16
Katika maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi
TEHRAN (IQNA) - Waandamanaji wenye hasira nchini Marekani wanaendeleza mkakati wa kuanugusha, kuharibu ama kuondoa masanambu ya wabaguzi wa rangi hasa Christopher Columbus.
Habari ID: 3472858 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/12
TEHRAN (IQNA)- Misikiti kadhaa kote katika jimbo la New Jersey nchini Marekani imesema hotuba za Sala ya Ijumaa zitajadili kuhusu madhara ya ubaguzi wa rangi na halikadhalika kuhusu ukatili na jinao zinazotendwa na polisi nchini humo.
Habari ID: 3472837 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/05