TEHRAN (IQNA) –Kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu, ibada ya Hija ni wajibu kwa kila Mwislamu mwenye uwezo wa kifedha na kiafya.
Habari ID: 3473031 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/04
Misikiti 10 mipya inatazamiwa kujengwa nchini Mali magharibi mwa Afrika kupitia ufadhili wa Taasisi ya Misaada ya RAF.
Habari ID: 3454532 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/19