iqna

IQNA

erbil
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (IRGC) limetangaza kuwa limelenga kwa makombora kituo cha kistratijia cha njama na uovu cha Wazayuni na kusisitizia kuwa: Kurudiwa kwa uovu wa aina yoyote kutakabiliwa na jibu kali, la pande zotei na haribifu.
Habari ID: 3475035    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/13