iqna

IQNA

shawwal
Idul Fitr
IQNA - Ramadhani, mwezi wa ibada na kujitolea, unafikia kilele kwa Waislamu kujiandaa kupokea malipo yao kutoka kwa Mwenyezi Mungu baada ya mwezi wa saumu na ibada.
Habari ID: 3478663    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/10

Idul Fitr
IQNA – Hilali ya mwezi wa Shawwal imeandamana leo jioni nchini Iran na kwa msingi huo Jumatano Aprili 10 2024 itakuwa Mosi Shawwal 1445 Hijria Qamaria na siku kuu ya Idul Fitri.
Habari ID: 3478659    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/09

TEHRAN (IQNA)- Kinachowangoja waumini baada ya mfungo wa mwezi mmoja ni Idi adhimu ambayo imetolewa kwa wale ambao wametoka kwa mafanikio katika Ramadhani ambao ni mwezi wa ugeni na rehema zisizo na kikomo za Mwenyezi Mungu
Habari ID: 3475198    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/02

Mufti wa Tunisia Sheikh Hamda Saeed amewaomba radhi Watunisia baada ya kubaini kuwa alifanya kosa kwa kutangaza mapema siku kuu ya Idul Ftir.
Habari ID: 3330378    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/20

Baadhi ya Waislamu katika nchi za Iraq, Uturuki, Qatar, Misri, Saudi Arabia na Bahrain leo wanasherehekea sikukuu ya Idul Fitr baada ya kutangazwa rasmi mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani katika nchi hizo.
Habari ID: 1434339    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/28