iqna

IQNA

jinai
Ayatullah Ahmad Jannati
TEHRAN (IQNA)-Katibu wa Baraza la Kulinda Katiba ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, uungaji mkono wa Marekani kwa jinai za utawala wa Saudi Arabia dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Yemen ni nembo ya wazi ya haki za binadamu za 'Shetani Mkubwa' yaani Marekani.
Habari ID: 3471584    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/05

TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Yemen wanakumbwa na jinamizi la mauti ambalo lilianza wakati Saudi Arabia, kwa himaya ya Marekani na Israel, ilianzisha hujuma dhidi ya nchi hiyo Machi 2015.
Habari ID: 3471310    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/15

Saudi Arabia imeendelea kukaidi wito wa kuundwa kamati ya kimataifa ya kutafuta ukweli kuhusu jinai zilizofanywa na utawala huo dhidi ya taifa la Yemen.
Habari ID: 3470601    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/06

Utawala wa Saudia umetekeleza mauaji ya watoto kadhaa nchini Yemen na kuwajeruhi wengine katika mwendelezo wa jinai zake dhidi ya nchi hiyo ambayo ni jirani wake wa kusini.
Habari ID: 3470541    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/30

Serikali ya Uingereza iko katika hatari ya kushtakiwa kwa kuiuzia Saudi Arabia makombora yaliyotumika kuwashambulia raia wasio na hatia nchini Yemen.
Habari ID: 3457990    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/29

Maulama na wasomi wakubwa walioshiriki katika kongamano la pili la kimataifa la 'Kuitafakari Qur'ani' lililomalizika nchini Morocco wamelaani vitendo vya ugaidi na makundi yenye misimamo mikali inayokinzana na mafundisho sahihi ya kitabu hicho cha Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3421794    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/31

Harakati za makundi yanayowaunga mkono wananchi wa Palestina na kutetea haki za binadamu dhidi ya safari iliyopangwa kufanywa na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel na mazungumzo yake na viongozi wa Uingereza zimeshadidi na kushika kasi zaidi.
Habari ID: 3358320    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/05

Baba ya mtoto Mpalestina wa miezi 18 aliyeuwawa hivi karibuni na masetla Waisraeli wenye misimamo mikali amefariki dunia kutokana na majeraha ya moto aliyopata katika tukio hilo.
Habari ID: 3340027    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/08

Abdul-Malik al-Houthi
Kiongozi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen Abdul-Malik al-Houthi amesema adui wa wananchi wa Yemen mwishowe atashindwa tu. Aidha ameongeza kuwa utawala haramu wa Israel unafaidika na hujuma ya Saudia dhidi ya watu wa Yemen.
Habari ID: 3338217    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/03

Jumuiya ya Waislamu wa Kishia Tanzania, AfroShia Muslim Community, inapanga maandamano ya amani kwa mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya Quds kwa lengo la kulaani jinai dhidi ya Wapalestina na pia kuunga mkono jitihada za amani duniani.
Habari ID: 3322431    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/03

Ripoti ya Umoja wa Mataifa
Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu jinai za utawala haramu wa Israel huko Ghaza iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu imechapishwa.
Habari ID: 3317957    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/23

Makumi ya watu wameuawa katika mwendelezo wa mashambulizi ya kichokozi ya Saudi Arabia na waitifaki wake nchini Yemen.
Habari ID: 3313339    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/12

Jeshi la Utawala haramu wa Israel limewaua watoto wapatao 980 katika hujuma zake za hivi karibuni katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3311464    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/07

Huku mashambulio makali ya ndege za kivita za Saudi Arabia dhidi ya Yemen yakiwa yanaingia katika mwezi wake wa tatu, maelfu ya raia wa nchi hiyo wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa huku miundombinu ya nchi hiyo ikiharibiwa kabisa.
Habari ID: 3309308    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/30

Mamilioni ya wananchi Waislamu wa Iran wameandamana kote nchini baada ya Sala ya Ijumaa kulaani jinai za utawala wa Saudia dhidi ya watu wa Yemen. Wananchi katika miji mikubwa kama vile Tehran, Qom, Mashhad na miji mingine 770 kote nchini.
Habari ID: 3276822    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/09

Afisa mwandamizi wa Harakati ya Hizbullah nchini Lebanon amelaani hujuma ya kijeshi ya Saudi Arabia nchini Yemen na kuitaja kuwa jinai huku akiuonya utawala huo kibaraka wa Marekani kuwa utapata hasara kubwa.
Habari ID: 3148169    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/15

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar mjini Cairo Misri amelaani vikali jinai zinazofanywa na makundi ya kitakfiri duniani hasa kundi la Daesh (ISIL).
Habari ID: 2615011    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/04

Rais Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Waislamu katika Ukanda wa Ghaza hatimaye watapata ushindi dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel na kwamba Iran daima itasimama pamoja mataifa yote yanayodhulimiwa wakiwemo Wapalestina, Wairaqi na Wasyria.
Habari ID: 1436787    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/06

Jeshi la utawala haramu wa Israel limeendeleza mauaji ya umati katika eneo la Ukanda wa Ghaza hii leo kwa siku ya 28 mtawalia na kuifanya idadi ya mashahidi wa hujuma hiyo kukaribia 2,000.
Habari ID: 1435964    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/04

Huku utawala wa Kizayuni wa Israel ukiendeleza jinai za kivita na mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wasio na ulinzi wala hatia huko katika Ukanda wa Ghaza, Marekani imejitokeza wazi kuunga mkono kwa hali na mali jinai za utawala huo bandia.
Habari ID: 1435160    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/02