IQNA

Wafanyaziara Milioni nne wamefika Iraq kushiriki hafla ya Arbaeen

Wafanyaziara Milioni nne wamefika Iraq kushiriki hafla ya Arbaeen

IQNA – Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq imetangaza kuwa wafanyaziara wa kigenizaidi ya milioni 4.1 wameshiriki katika ziara ya mwaka huu ya Arbaeen.
20:31 , 2025 Aug 15
Rais wa Misri ahimiza ustawishaji wa tovuti ya Idhaa ya Qur’an Tukufu

Rais wa Misri ahimiza ustawishaji wa tovuti ya Idhaa ya Qur’an Tukufu

IQNA – Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri amesisitiza umuhimu wa kuendeleza tovuti ya kimataifa ya Idhaa ya Qur’an Tukufu ya nchi hiyo.
20:16 , 2025 Aug 15
Maadhimisho ya Arbaeen yadhihirisha umoja na msimamo wa Waislamu Dhidi ya Dhulma

Maadhimisho ya Arbaeen yadhihirisha umoja na msimamo wa Waislamu Dhidi ya Dhulma

IQNA – Katika ziara ya Arbaeen, Waislamu hukusanyika kwa mshikamano ili kufikisha ujumbe wa pamoja wa kusimama imara na kudai haki, amesema afisa wa Kiirani.
23:09 , 2025 Aug 14
Maadhimisho ya Arbaeen ya Imam Hussein (AS) yavutia mamilioni ya Waislamu

Maadhimisho ya Arbaeen ya Imam Hussein (AS) yavutia mamilioni ya Waislamu

IQNA-Mamilioni ya Waislamu kutoka pembe mbalimbali za dunia wamekusanyika katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq kuadhimisha Arbaeen au Arubaini ya kumbukumbu ya kuuawa shahidi Imam Hussein (AS), Imam wa tatu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia na mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW).
22:51 , 2025 Aug 14
Hakuna tatizo lolote la usalama katika matembezi ya Arbaeen

Hakuna tatizo lolote la usalama katika matembezi ya Arbaeen

IQNA – Kamati Kuu ya Iraq ya Uratibu wa Wafanyaziyara Mamilioni imetangaza kuwa hadi sasa hakuna ukiukaji wowote wa usalama ulioripotiwa wakati wa matembezi ya Arbaeen.
00:05 , 2025 Aug 14
19