IQNA

Mfungwa wa Kipalestina aliyeachiliwa azungumzia udhalilishaji wa Qur'an katika Magereza ya Israel

Mfungwa wa Kipalestina aliyeachiliwa azungumzia udhalilishaji wa Qur'an katika Magereza ya Israel

IQNA – Mfungwa wa Kipalestina aliyeachiliwa kutoka gereza la utawala wa Kizayuni ameeleza mateso makali na hali isiyo ya kibinadamu inayowakumba wafungwa wa Kiislamu, ikiwemo udhalilishaji wa Qur'an Tukufu na kuzuia adhana na sala za jamaa.
21:11 , 2025 Oct 26
Mgombea wa umeya wa Jiji la New York, Mamdani, akabiliana hujuma za chuki dhidi ya dini yake ya Kiislamu

Mgombea wa umeya wa Jiji la New York, Mamdani, akabiliana hujuma za chuki dhidi ya dini yake ya Kiislamu

IQNA – Katika kipindi cha kuelekea kuanza kwa upigaji kura wa mapema, mgombea wa umeya wa Jiji la New York, Zohran Mamdani, ametetea imani yake ya Kiislamu huku akilaani “mashambulizi ya kibaguzi na yasiyo na msingi” kutoka kwa wapinzani wake, akionya kuwa chuki hizo dhidi ya Uislamu hazimlengi yeye tu bali pia takribani Waislamu milioni moja wanaoishi jijini humo.
09:31 , 2025 Oct 26
20