IQNA

Wanawake wa Kiislamu wabeba mzigo wa chuki dhidi ya Uislamu nchini Australia

Wanawake wa Kiislamu wabeba mzigo wa chuki dhidi ya Uislamu nchini Australia

IQNA-Australia imeingia katika kipindi kigumu cha chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia), hali iliyoibuka kwa kasi tangu kuanza kwa vita vya kikatili vya utawala wa Israel dhidi ya Gaza.
11:37 , 2025 Jul 30
Shule za Kuhifadhi Qur’ani kutoa mafunzo kwa wahifadhi Milioni 10 wa Qur’ani Iran

Shule za Kuhifadhi Qur’ani kutoa mafunzo kwa wahifadhi Milioni 10 wa Qur’ani Iran

IQNA – Afisa mmoja kutoka Wizara ya Elimu ya Iran amesema kuwa shule 1,200 za kuhifadhi Qur’ani zinapangwa kuzinduliwa nchini ili kusaidia mpango wa kuwafundisha wahifadhi milioni 10 wa Qur’ani.
11:16 , 2025 Jul 30
CAIR: Kuua watu katika nyumba ya ibada ni uovu wa hali ya juu

CAIR: Kuua watu katika nyumba ya ibada ni uovu wa hali ya juu

IQNA – Kundi moja la kutetea haki za binadamu nchini Marekani limelaani shambulio la kikatili lililotokea hivi karibuni dhidi ya kanisa Katoliki nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
10:54 , 2025 Jul 30
Kiongozi wa Mapinduzi: Vita ya Siku 12 vilionesha uwezo wa Iran

Kiongozi wa Mapinduzi: Vita ya Siku 12 vilionesha uwezo wa Iran

IQNA – Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatعllah Sayyid Ali Khamenei, amesema kuwa vita vya siku 12 vilivyoanzishwa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran vimeonesha kwa dhahiri uimara wa kipekee wa Jamhuri ya Kiislamu pamoja na dhamira thabiti na uwezo wake mkubwa.
21:29 , 2025 Jul 29
Mufti wa Al-Quds azuiwa kuingia Msikiti wa Al-Aqsa baada ya hotuba kuhusu njaa Gaza

Mufti wa Al-Quds azuiwa kuingia Msikiti wa Al-Aqsa baada ya hotuba kuhusu njaa Gaza

IQNA-Sheikh Muhammad Ahmad Hussein, Mufti Mkuu wa Al-Quds, amepigwa marufuku na utawala dhalimu wa Israel kuingia Msikiti wa Al-Aqsa ulio mjini Quds (Jerusalem) kwa muda wa wiki moja, marufuku ambayo inaweza kuongezwa
17:58 , 2025 Jul 28
Waombolezaji wa Bani Amer waingia Karbala kabla ya Arbaeen

Waombolezaji wa Bani Amer waingia Karbala kabla ya Arbaeen

IQNA-Kundi la maombolezo la Bani Amer, mojawapo ya makundi makubwa zaidi ya waombolezaji nchini Iraq, limeanza matembezi yake ya kiroho kutoka Basra kuelekea Karbala, likiwa limevalia mavazi meupe ya kitamaduni, kwa ajili Arbaeen ya mwaka huu.
17:52 , 2025 Jul 28
Tamati ya Kozi ya Kuhifadhi Qur’ani kwa Wanawake Katika Msikiti Mtukufu wa Masjid al-Haram, Makkah

Tamati ya Kozi ya Kuhifadhi Qur’ani kwa Wanawake Katika Msikiti Mtukufu wa Masjid al-Haram, Makkah

IQNA-Kozi ya kiangazi ya wanawake ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu katika Msikiti Mtukufu wa Masjid al-Haram, Makkah, imekamilika kwa mafanikio, ambapo washiriki zaidi ya 1,600 wametimiza masharti ya programu hiyo.
17:47 , 2025 Jul 28
Tamasha la Kwanza la Qur’ani Tukufu lafanyika Al Hoceima, Morocco

Tamasha la Kwanza la Qur’ani Tukufu lafanyika Al Hoceima, Morocco

IQNA-Mji wa Al Hoceima, ulioko kaskazini mwa Morocco, umeandaa tamasha lake la kwanza la Qur’ani Tukufu, likiwatambua washiriki mashuhuri wa mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi na kusoma Qur’ani. Tukio hilo lilianza Ijumaa, Julai 25, na liliambatana na maadhimisho ya miaka 26 tangu Mfalme Mohammed VI achukue madaraka ya kifalme.
17:42 , 2025 Jul 28
Mji wa Qom kuwakaribisha wafanyaziyara  wa Arbaeen nusu Milioni kutoka nchi 32

Mji wa Qom kuwakaribisha wafanyaziyara wa Arbaeen nusu Milioni kutoka nchi 32

IQNA – Taasisi za kidini na kiraia katika mji mtukufu wa Qom, Iran, zinajiandaa kuwapokea zaidi ya wafanyaziyara 500,000 wa Arbaeen kutoka zaidi ya nchi 30, kwa mipango mahsusi ya huduma.
17:36 , 2025 Jul 28
Jeshi katili la Israel lateka meli ya msaada iliyokuwa ikielekea Gaza

Jeshi katili la Israel lateka meli ya msaada iliyokuwa ikielekea Gaza

IQNA-Jeshi la majini la utawala ghasibu wa Israel limeiteka meli ya misaada iliyokuwa ikielekea Ukanda wa Gaza, ikiwa na bendera ya Uingereza, katika harakati za kuvunja mzingiro mkali wa eneo hilo unaoendelea tangu mwaka 2007.
16:16 , 2025 Jul 27
Masheikh wa Kishia na Kisunni wa Iraq waswali pamoja katika Haram ya Imam Hussein (AS) kuashiria Umoja wa Kiislamu

Masheikh wa Kishia na Kisunni wa Iraq waswali pamoja katika Haram ya Imam Hussein (AS) kuashiria Umoja wa Kiislamu

IQNA – Katika kuonyesha mshikamano wa Waislamu, masheikh wa Kisunni walijumuika Jumamosi jioni kwa swala ya jamaa pamoja na ndugu zao wa Kishia katika Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq.
16:12 , 2025 Jul 27
Kampeni ya Kimataifa ya Qur'ani ya “Fath”: Qari Muirani asoma aya za Sura Aal Imran

Kampeni ya Kimataifa ya Qur'ani ya “Fath”: Qari Muirani asoma aya za Sura Aal Imran

IQNA- Mahdi Ghorbanali, qari wa swala ya Ijumaa mjini Tehran, amejiunga na kampeni ya Qur’ani ya IQNA iitwayo “Fath” kwa kusoma aya ya 139 ya Surah Al-Imran.
15:59 , 2025 Jul 27
Kongamano la kimataifa kuwaenzi Waislamu wenye mchango mkubwa, wakiwemo Nasrallah

Kongamano la kimataifa kuwaenzi Waislamu wenye mchango mkubwa, wakiwemo Nasrallah

IQNA – Viongozi wa kidini nchini Iran wametangaza kuanzishwa kwa kongamano la kimataifa litakalowatambua na kuwaheshimu wanazuoni watatu mashuhuri wa Kiislamu ambao urithi wao umeathiri kwa kina fikra za kidini, kitamaduni na kisiasa katika ulimwengu wa Kiislamu.
15:52 , 2025 Jul 27
Kumbukumbu ya miaka 8 ya kifo cha Sheikh Tantawi, gwiji wa usomaji Qur'ani

Kumbukumbu ya miaka 8 ya kifo cha Sheikh Tantawi, gwiji wa usomaji Qur'ani

IQNA – Jumamosi, tarehe 26 Julai 2025, ulimwengu wa Kiislamu uliadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Sheikh Muhammad Abdul Wahhab Al-Tantawi, gwiji wa usomaji wa Qur’ani katika enzi ya dhahabu ya Misri.
15:40 , 2025 Jul 27
Hatua ya Mkoa ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu Yaanza Tehran

Hatua ya Mkoa ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu Yaanza Tehran

IQNA – Hatua ya mkoa ya Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu nchini Iran ilianza asubuhi ya Ijumaa, Julai 25, 2025, chini ya usimamizi wa Idara ya Wakfu na Masuala ya Hisani ya Mkoa wa Tehran, katika Hoteli ya Eram.
15:18 , 2025 Jul 27
6